Amigo
Les Wanyika Lyrics


Jump to: Overall Meaning ↴  Line by Line Meaning ↴

Download Amigo 320kbps mp3

Tabia zako zimeshakupasae
Mke na watoto wamekimbia
Tulikukanya chunga heshima yako,
Mke na watoto wako nyumbani,
Ndio hazina ya maisha yako... Amigo, Amigo
Wakati tunakupa ushauri we,
Uliona sisi watu fitina,
Twaingilia mambo yako ya ndani,
Na kwamba tukuache kama ulivyo,
Sababu wewe bingwa wa maisha... Amigo, Amigo

Thamani ya mke ni mavazi,
kula vizuri kulala vizuri
ndio siri ya kudumisha ndoa
mtaishi kwa raha amigo
watoto wako wapeleke shule,
kwa manufaa yao ya baadaye,
Elimu ndio zawadi muhimu
Kwa watoto wako, Amigo
Badala yake mabo yote hayo,
kwa mkeo imekuwa ni ndoto
Maisha yake ya kubahatisha
Na kazi unfanya, Amigo
Amechoka mwisho kakimbia
umebaki kulaumu wenzio
Lawama zako hazina msingi, bembeleza mkeo akurudie!

Majirani na rafiki tulishakukanya sana Amigo,
Heshimu mke na watoto wako,
Heshimu baba na mama nyumbani,
Na wakwe zako uwape heshima,
Shemeji zako pia waheshimu,
Tukawa sisi wabaya kwako,
Shauri wetu hauna maana,
Tukwache kama ulivyo Amigo,
Sababu wewe ni bingwa wa maisha
Mahari umeshalipa Amigo,
Mkeo huna habari naye,




Na leo yamekufika mambo,
Ubingwa wako na mke amekukimbia Eh! ×4

Overall Meaning

The lyrics to Les Wanyika's song "Amigo" are a cautionary tale to a man who has neglected his family for his work and disregarded the advice of those around him. The first verse laments the fact that the man's wife and children have left him, and the chorus emphasizes the importance of valuing one's family as the treasure of one's life. The second verse acknowledges that the man had rejected advice from friends and neighbors who were concerned about his internal affairs and that he had been seen as someone who didn't appreciate the help of others. The bridge encourages the man to take care of his family, send his children to school, and treasure his wife, as these are the keys to maintaining a happy home.


The song is a reflection of African values, emphasizing the importance of community and family, and warning against the dangers of neglecting one's family for work. The use of the word "Amigo," which translates to "friend" in Spanish, is an indication of the influence of Latin American music on East African pop music during the 1980s. The song's upbeat tempo, catchy guitar licks, and smooth vocals have made it a classic in East African and African pop music.


Line by Line Meaning

Tabia zako zimeshakupasae
Your behavior has already caused your downfall.


Mke na watoto wamekimbia
Your wife and children have left you.


Tulikukanya chunga heshima yako, Mke na watoto wako nyumbani, Ndio hazina ya maisha yako... Amigo, Amigo
We warned you to protect your honor and keep your wife and children at home, as they are your life's treasure.


Wakati tunakupa ushauri we, Uliona sisi watu fitina, Twaingilia mambo yako ya ndani, Na kwamba tukuache kama ulivyo, Sababu wewe bingwa wa maisha...
When we gave you advice, you thought we were meddling and that we should leave you alone because you are a champion of life.


Thamani ya mke ni mavazi, kula vizuri kulala vizuri ndio siri ya kudumisha ndoa mtaishi kwa raha amigo
The value of a wife lies in dressing well, eating and sleeping well, which is the secret to a happy marriage.


watoto wako wapeleke shule, kwa manufaa yao ya baadaye, Elimu ndio zawadi muhimu Kwa watoto wako, Amigo
Your children should go to school for their future benefit, as education is the greatest gift for them, Amigo.


Badala yake mabo yote hayo, kwa mkeo imekuwa ni ndoto Maisha yake ya kubahatisha Na kazi unfanya, Amigo Amechoka mwisho kakimbia umebaki kulaumu wenzio
Instead, your wife's life has become a nightmare and her work is uncertain, while you continue to blame others when she is tired and has run away.


Lawama zako hazina msingi, bembeleza mkeo akurudie!
Your blame is unfounded, so go and beg your wife to come back to you!


Majirani na rafiki tulishakukanya sana Amigo, Heshimu mke na watoto wako, Heshimu baba na mama nyumbani, Na wakwe zako uwape heshima, Shemeji zako pia waheshimu, Tukawa sisi wabaya kwako, Shauri wetu hauna maana, Tukwache kama ulivyo Amigo, Sababu wewe ni bingwa wa maisha
Neighbors and friends warned you so much, Amigo, to respect your wife and children, your parents, your in-laws, and also your siblings-in-law, but you thought our advice was meaningless, so we will leave you as you are because you are the champion of life.


Mahari umeshalipa Amigo, Mkeo huna habari naye, Na leo yamekufika mambo, Ubingwa wako na mke amekukimbia Eh! ×4
You have paid the bride price, Amigo, but you have no relationship with your wife, and today things have caught up with you: your wife has left you, yet you are still clinging to your champion status, eh! (x4).




Contributed by Ryan S. Suggest a correction in the comments below.
To comment on or correct specific content, highlight it

Genre not found
Artist not found
Album not found
Song not found
Most interesting comments from YouTube:

@clarawiest3487

Iopm
Nnkmk'
Kkl'''Lolol kj' l'kjlllnklmn'kp
Mklpjkjljil'lnlbkjk'llblpljnlk

Jmkljjnj'jk'm'lnnlkkllo''no l
N
L

Ll
'

'''MN bk
Ml
Kmk'kmlm
K
Mk
'l
J'. Lk
'
' klingt



@joseckmundara4505

Les Wanyika - Amigo

Tabia zako zimeshakupasae
Mke na watoto wamekimbia
Tulikukanya chunga heshima yako,
Mke na watoto wako nyumbani,
Ndio hazina ya maisha yako.... Amigo, Amigo

Wakati tunakupa ushauri we,
Uliona sisi watu fitina,
Twaingilia mambo yako ya ndani,
Na kwamba tukuache kama ulivyo,
Sababu wewe bingwa wa maisha... Amigo, Amigo

Thamani ya mke ni mavazi,
kula vizuri kulala vizuri
ndio siri ya kudumisha ndoa
mtaishi kwa raha amigo
watoto wako wapeleke shule,
kwa manufaa yao ya baadaye,
Elimu ndio zawadi muhimu
Kwa watoto wako, Amigo
Badala yake mabo yote hayo,
kwa mkeo imekuwa ni ndoto
Maisha yake ya kubahatisha
Na kazi unfanya, Amigo
Amechoka mwisho kakimbia
umebaki kulaumu wenzio
Lawama zako hazina msingi, bembeleza mkeo akurudie!

Majirani na rafiki tulishakukanya sana Amigo,
Heshimu mke na watoto wako,
Heshimu baba na mama nyumbani,
Na wakwe zako uwape heshima,
Shemeji zako pia waheshimu,
Tukawa sisi wabaya kwako,
Shauri wetu hauna maana,
Tukwache kama ulivyo Amigo,
Sababu wewe ni bingwa wa maisha
Mahari umeshalipa Amigo,
Mkeo huna habari naye,
Na leo yamekufika mambo,
Ubingwa wako na mke amekukimbia Eh! x4



All comments from YouTube:

@josephatmoracha5755

Team 2024 lets gather here ❤ and agree that this music will never get old ❤.

@tabbyayako5905

Never gets old

@johntheneat3228

Hizi nyimbo hata sisi watoto wa 2003 zinatufundisha kuheshimu wazazi na shemeji zetu kupenda na kutunza familia zetu mke na watoto asanteni sana wazee wetu kama bado unasikiliza hadi leo 2023 tupia like yako

@AllenMwalimu

Hakika

@waswahassan6169

Izimiziki zilikua chat nakwakufundisha watuwot❤

@yusufurajabuomari647

Kama bado unasikiliza 2020 tujuane kwa like
#AMIGO

@FaridaFarida-ov2th

Yusufu Rajabu Omari pamoja sana naupenda huu wimbo dah!

@devothagrationgration6380

Nakupenda sn mpaka leo nausikiliza

@mercymuraguri6074

Am here in feb 2020 good music

@flondwiga2965

Locked

More Comments

More Versions