Rosa
Western Jazz Band Lyrics
Jump to: Overall Meaning ↴ Line by Line Meaning ↴
Mganga aliyekupa dawa ni adui yangu mama
Penzi ulilotaka si penzi mwenzangu eeh
Dawa aliyokupa ni sumu mwenzangu eeh
Hivyo ndivyo ulivyotaka toa roho yangu
Nini ulichokosa kutaka kuniua Rosa?
Nilikuwa ninakupa mshahara wangu wote
Hio haikutosha mpaka wanitesa Rosa
Eeh Rosa, Eeh Rosa, Eeh Rosa, Eeh Rosa Mama
(Acha ubaya Rosa).
Mapenzi yetu yamekuwa ni hasara Rosa
Mganga aliyekupa dawa ni adui yangu mama
Penzi ulilotaka si penzi mwenzangu eeh
Dawa aliyokupa ni sumu mwenzangu eeh
Hivyo ndivyo ulivyotaka toa roho yangu
Nini ulichokosa kutaka kuniua Rosa?
Nilikuwa ninakupa mshahara wangu wote
Hio haikutosha mpaka wanitesa Rosa
Eeh Rosa, Eeh Rosa, Eeh Rosa, Eeh Rosa Mama (he he he)
(Ndio ndio ndio ndio...)
(Rosa acha kuniua mama
Watu wanataka kusikia saboso ya mwaka 73
Kweli kweli kweli Rosa mbaya
Wacha uchawi)
(Rosaaa)
(He he eheee Rosa Maamaa)
Mapenzi yetu yamekuwa ni hasara Rosa
Mganga aliyekupa dawa ni adui yangu mama
Penzi ulilotaka si penzi mwenzangu eeh
Dawa aliyokupa ni sumu mwenzangu eeh
Hivyo ndivyo ulivyotaka toa roho yangu
Nini ulichokosa kutaka kuniua Rosa?
Nilikuwa ninakupa mshahara wangu wote
Hio haikutosha mpaka wanitesa Rosa
Eeh Rosa, Eeh Rosa, Eeh Rosa, Eeh Rosa Mama
The lyrics to Western Jazz Band's song Rosa tell a story of a failed love affair that has turned out to be a loss for the singer of the song. The chorus of the song repeated several times throughout the song is a plea to Rosa to stop being malicious towards the singer. The song narrates how Rosa's actions have caused the singer much pain and how Rosa's "doctor" is the enemy of the singer. The singer maintains that the love Rosa wanted was not mutual, and the "medicine" that Rosa received was poison to the singer. The singer accuses Rosa of wanting to take away their life and questions what they had done to deserve such malicious intent.
The lyrics reveal that the singer had been giving their all, including their salary, and yet Rosa's actions made them suffer. The line "Hivyo ndivyo ulivyotaka toa roho yangu" translates to "that's how you wanted to take my soul," which shows the severity of the accusations that the singer is making towards Rosa. The song is a lamentation and a plea for Rosa to stop the malicious acts.
Line by Line Meaning
Mapenzi yetu yamekuwa ni hasara Rosa
Our love has been a loss, Rosa
Mganga aliyekupa dawa ni adui yangu mama
The doctor who gave you medicine is my enemy, mama
Penzi ulilotaka si penzi mwenzangu eeh
The love you wanted wasn't love for me, eh
Dawa aliyokupa ni sumu mwenzangu eeh
The medicine he gave you was poison, my friend, eh
Hivyo ndivyo ulivyotaka toa roho yangu
That's how you wanted to take my soul
Nini ulichokosa kutaka kuniua Rosa?
What did I lack that made you want to kill me, Rosa?
Nilikuwa ninakupa mshahara wangu wote
I was giving you all my salary
Hio haikutosha mpaka wanitesa Rosa
That wasn't enough until they tortured me, Rosa
Eeh Rosa, Eeh Rosa, Eeh Rosa, Eeh Rosa Mama
Oh Rosa, Rosa Mama
Writer(s): Pixinguinha
Contributed by Mia T. Suggest a correction in the comments below.
@Peggycool351
Niko na nani hapa 2024
@gloriamngulwi4828
Nipo hapa
@kundadickson4648
I remember in 1972 we used to play this song on ITT SUPERSONIC RADIO GRAM in Mansa, Zambia. This song graced air waves then. My elder sister our first born Mwape loved this song much MHSRIEP.
@jonathanmwangi2743
Memories..when we were young...we did not mind about anything when the songs would be played on kbc radio..sabalheri manenos😢.
@douglasnyakango636
Feeling is something else here .my whole body is going numb.it remind my first wife who left me because I didn't have a job.until now she's not married.for me I moved on and married to Madam, christabel kagai.mtoto maragoli.
@mikerosco4267
tmi
@jasperetale6916
Douglas nyakango :that woman was neither your wife nor meant for you. She was looking for money and went where she thought she would get money.
@saidameran2659
ÇAWW 000I0JLHU677766666I 8TAKES 0
@VISMARTFOURWHEELS
Damn man! The same thing happened to me
@cecilhesse6157
The only oddies music that will never be forgotten ever !!!T