Jambo
Ziggy Marley Lyrics


Jump to: Overall Meaning ↴  Line by Line Meaning ↴

Hey, this is a song from Kenya
In the language of Swahili from Africa
Hello mister, hello sister
No problem, no worries
Oh, yeah

Jambo, jambo bwana
Habari gani? Mzuri sana
Wageni, mwakaribishwa
Nyumba yetu, hakuna matata

Jambo, jambo bwana
Habari gani? Mzuri sana
Wageni, mwakaribishwa
Nyumba yetu, hakuna matata

Tujenge pamoja, hakuna matata
Amani kwa dunia, hakuna matata
Uhuru na undugu, hakuna matata
Afya na shupavu, hakuna matata
Harambe sawa sawa, hakuna matata

Jambo, jambo dada
Habari gani? Mzuri sana
Wageni, mwakaribishwa
Nyumba yetu, hakuna matata

Jambo, jambo dada
Habari gani? Mzuri sana
Wageni, mwakaribishwa
Nyumba yetu, hakuna matata

Vile nakupenda, hakuna matata
Kila siku ubarikiwe, hakuna matata
Sasa watu wetu wote, hakuna matata
Furaha na baraha, hakuna matata
Hakuna matata, hakuna matata

Jambo, jambo bwana
Habari gani? Mzuri sana
Wageni, mwakaribishwa
Nyumba yetu, hakuna matata
Jambo, jambo dada
Habari gani? Mzuri sana
Wageni, mwakaribishwa
Nyumba yetu, hakuna matata

Tujenge pamoja, hakuna matata
Amani kwa dunia, hakuna matata
Uhuru na undugu, hakuna matata
Afya na shupavu, hakuna matata
Harambe sawa sawa, hakuna matata
Vile nakupenda, hakuna matata
Kila siku ubarikiwe, hakuna matata
Sasa watu wetu wote, hakuna matata
Furaha na baraha, hakuna matata
Hakuna matata, hakuna matata

Tujenge pamoja, hakuna matata
Amani kwa dunia, hakuna matata
Uhuru na undugu, hakuna matata
Afya na shupavu, hakuna matata
Harambe sawa sawa, hakuna matata
Vile nakupenda, hakuna matata
Kila siku ubarikiwe, hakuna matata
Sasa watu wetu wote, hakuna matata




Furaha na baraha, hakuna matata
Hakuna matata, hakuna matata

Overall Meaning

"Jambo" is a song by Ziggy Marley in which he sings in Swahili language. The song's title, "Jambo", is a Swahili greeting that translates to "hello" in English. Marley greets both a male and female guest, telling them that they are welcome in their home and that there is no problem or worries, using the phrase "hakuna matata" which means "no worries" in Swahili.


The song’s lyrics encourage unity, peace, and love among people. Marley urges people to build together, have no worries, aim for brotherhood and freedom, and maintain good health. Throughout the song, he repeats the phrase β€œhakuna matata” to emphasize the significance of having no worries and a sense of togetherness.


Overall, "Jambo" is a celebratory song of friendship and community building that encourages unity and togetherness, reflecting both Marley's roots and the East African culture.


Line by Line Meaning

Hey, this is a song from Kenya
I want to introduce this song and let you know it comes from Kenya


In the language of Swahili from Africa
The lyrics are in Swahili which is an African language


Hello mister, hello sister
Greeting to both men and women


No problem, no worries
Everything is okay, don't be concerned


Oh, yeah
Excitement and enthusiasm


Jambo, jambo bwana
Hello, hello sir


Habari gani? Mzuri sana
How are you? Very good.


Wageni, mwakaribishwa
Visiting friends, you are welcome


Nyumba yetu, hakuna matata
Our home, no worries


Tujenge pamoja, hakuna matata
Let's build together, no worries


Amani kwa dunia, hakuna matata
Peace for the world, no worries


Uhuru na undugu, hakuna matata
Freedom and brotherhood, no worries


Afya na shupavu, hakuna matata
Health and strength, no worries


Harambe sawa sawa, hakuna matata
Let’s all pull together, no worries


Jambo, jambo dada
Hello, hello sister


Vile nakupenda, hakuna matata
The way I love you, there are no worries


Kila siku ubarikiwe, hakuna matata
May you be blessed every day, no worries


Sasa watu wetu wote, hakuna matata
All our people now, there are no worries


Furaha na baraha, hakuna matata
Happiness and joy, no worries


Hakuna matata, hakuna matata
No worries, no worries




Lyrics Β© Peermusic Publishing
Written by: David Marley

Lyrics Licensed & Provided by LyricFind
To comment on or correct specific content, highlight it

Genre not found
Artist not found
Album not found
Song not found
Comments from YouTube:

@neattechnologiestz8636

Ahahaaaa!!! I never expected to hear Ziggy Marley singing in Swahili, my home language of Tanzania land... I'm so happy to hear this song... Big up Brother Ziggy and Sister Angelique

@gato0082

Nice ..... πŸ‡―πŸ‡²πŸ‡°πŸ‡ͺ πŸ‡―πŸ‡²πŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡―πŸ‡²πŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡―πŸ‡²πŸ‡°πŸ‡ͺπŸ™‹

@charlesthomas9587

Sawa, lakini Tanzania tumelala sana. Si unaona background ni bendera ya Kenya, haya mambo hayaji kimiujiza. Ni mipango na mikakati ya muda mrefu. Hii kiutalii ni advantage kwa Kenya, nadhani unaelewa hivyo vichwa viwili Marley na Angelique Kidjo vinasikilizwa na dunia.

@neattechnologiestz8636

@Charles Thomas kweli ndugu yangu, hii ni advantage sana kwa Kenya katika nyanja nyingi za socialpolitics na economics pia. Tanzania tumeshindwa ku-merge na Dunia in terms of socialpolitics kwa kudhani Bongo Flavor na maudhui yake yaliyo stagnant yanaweza kutufikisha somewhere katika international arena, let alone our politics.
Remember in previous REBELION RISES ALBUM, in the song WORLD REVOLUTION where Ziggy featured Kenyan SamuILL Kalonji: kumbuka engagement ya Ziggy na Angelique Kidjo kwenye wimbo wa Sedjedo na African Land during World Cup in South Africa, kumbuka engagement ya Ziggy na wanamuziki wengine kadhaa wa Afrika kama Nneka nk. Hii ni kutokana na substances that these fellow Africans carry in their music. Tunaona ni jinsi gani wanamuziki wenzetu wa Afrika wanavyotumia music effectively and responsibly for the benefit of people they represent na si kwa purpose ya bling bling. We shouldn't expect to see big world Musicians like Ziggy to feature our Bongo Flavour-type guys if they still carry negative contents in their music.
Pia Watanzania wengi hawana awareness na in fact hawapendi wala hawafikirii Reggae music deep in their heart.
Still a long way to go...

@neattechnologiestz8636

@Charles Thomas Myself, I listen to Reggae music since I was in Primary school and it was my mother and elder brother who introduced me to this and still listening to it today in my 40s. I have been in many places globally, attend many Reggae festivals, watching musicians like Burning Spear, Aswad, U Roy, The Wailers, Alpha Blondy etc, and observed positive awareness of Reggae and how those societies benefit from just being aware of this music. It makes people value themselves and know what life worth.
Kenyans in general know and value Reggae music practically similar to Ghana, and we see a lot of involvement of world Reggae musicians in Kenya and Ghana. Mikakati ya muda mrefu inachagizwa na what people think and feel. Huwezi kupanda nyanya halafu ukavuna vitunguu, mkakati mkubwa ni kujitambua na kujipenda kwanza kama Jamii, kujua mnahitaji nini kama Jamii, ni kujua mnataka kuelekea wapi kama Jamii. Mnapoweka vitu hivi katika manual ya dira yenu then kila kitu kinakuwa toast. Tuna mengi ya kujifunza katika hili, wanamuziki kama Ziggy ambao wanaamini katika African Unification wamezungumza mengi sana na kushauri mengi kupitia music na interviews mbalimbali. Ni wajibu wetu kuyachukua na kuyafanyia kazi..
Tanzanians need to evolve...

@charlesthomas9587

@Neat Technologiestz napatikana Facebook kwa jina la Cha Sikale, please send a friend request tuwe friends. I value your opinions, nuff raspect. One destiny rootsman.

11 More Replies...

@patriciahcatherine5834

We’ll talk about the Swahili language later.....no country in Africa loves reggae music like Kenyans do πŸ‡°πŸ‡ͺ Someone sent this to me and I’m loving the mama land Sound it’s fire πŸ”₯ hakuna matata 😘

@ChandraEssence

β˜€οΈ "Jambo !" β˜€οΈ Writing the lyrics down and learning it by Heart ! πŸ’“ 🎢 Sounds so Positive ! 🎢 🌈

@kenwachiwa

visit Kenya and learn the coolest and most progressive swahili in the world.πŸ’―πŸ’―πŸ‘

@ChandraEssence

@Mpenzi Mtazamaji I would Love to One day !β˜€οΈ But for now :
"Tujenge pamoja,
Amani kwa dunia,
Uhuru na undugu,
Afya na shupavu,
Hakuna Matata !"
πŸ’“ One Love πŸ’“

More Comments

More Versions