Ajali Haikingiki
Fundi Konde Lyrics
Jump to: Overall Meaning ↴ Line by Line Meaning ↴
Asainipo Mola mwenyewe
Hino ajali haikingiki
Asainipo Mola mwenyewe
Ni chombo imara chenye dhamani
Kilichopasishwa Uingerezani
Kilinguruma Likoni kikatiririka
Wale pasenja wakafelea baharini
Wale pasenja wakafelea baharini
Naliona hivyo kwaherini
Naliona hivyo kwaherini
Natanga pangani kwenye waganga
Na misahafu imepangana
Natanga pangani kwenye waganga
Na misahafu imepangana
Dereva Kombo ungama zako zimekwisha
Hapa Mombasa jirani wazikwa shirika
Dereva Kombo ungama zako zimekwisha
Kwetu Mombasa jirani wazikwa shirika
Naliona hivyo kwaherini
Watoka Mombasa kwenda Nairobi
Huko njiani maji saliti
Wa Nairobi hawana habari
Uko njiani toka Mombasa
Mara radio yasema na jirani lako
Kwamba ajali mbaya imetokea njiani
Nao pasenja hawajulikani majina
Nayo hesabu ni ya kubahatisha
Fuateni wosia wa wimbo huu
Kwa kujihepusha na hizi ajali
End
"Hino Ajali Haikingiki" is a song by Fundi Konde that talks about the dangers of road accidents and the need to be cautious while travelling. The opening lines of the song proclaim that accidents have no guarantees--one can never be sure when an accident will occur, but it is our duty to be careful and pray to God for protection. The song then goes on to describe an accident that occurred in Likoni, a district in Mombasa, where a strong and valuable vessel sank, killing passengers who had been aboard. The singer notes that he was present when the accident happened and watched people lose their lives in a tragic way.
The next verse of the song is about the singer's experiences in Pangani, another district in Kenya. Here, he notes that he visited traditional healers and saw books of the Quran lined up together. He vividly describes an incident in which a driver named Kombo died in a car accident in Mombasa, and people nearby buried him. The song ends with a warning and a message urging everyone to be safe on the road and avoid accidents. As listeners, we are instructed to follow the "wosia" (advice) of the song and stay safe by being careful and alert while travelling.
Line by Line Meaning
Hino ajali haikingiki
Accidents are unpredictable
Asainipo Mola mwenyewe
Only God knows when they will happen
Ni chombo imara chenye dhamani
It's a valuable and strong vessel
Kilichopasishwa Uingerezani
Imported from England
Kilinguruma Likoni kikatiririka
It roars and pours as it crosses Likoni
Wale pasenja wakafelea baharini
Passengers die drowning in the ocean
Naliona hivyo kwaherini
I witnessed it during farewell
Natanga pangani kwenye waganga
I seek remedies from traditional healers in Pangani
Na misahafu imepangana
And the Qurans are arranged orderly
Dereva Kombo ungama zako zimekwisha
Driver Kombo, your days are numbered
Hapa Mombasa jirani wazikwa shirika
Here in Mombasa, neighbors bury each other
Watoka Mombasa kwenda Nairobi
They travel from Mombasa to Nairobi
Huko njiani maji saliti
Encountering saline water along the way
Wa Nairobi hawana habari
Those in Nairobi are not aware
Uko njiani toka Mombasa
On the way from Mombasa
Mara radio yasema na jirani lako
Suddenly, the radio announces to your neighbor
Kwamba ajali mbaya imetokea njiani
That a terrible accident happened on the road
Nao pasenja hawajulikani majina
And the passengers are not known by their names
Nayo hesabu ni ya kubahatisha
The number of people involved is uncertain
Fuateni wosia wa wimbo huu
Follow the advice in this song
Kwa kujihepusha na hizi ajali
To avoid these accidents
Contributed by Grace W. Suggest a correction in the comments below.
@shadesraini6356
Raila odinga made me search for this....who else did it?
@bonfacekamau676
Me too,it's lovely but sad
@sammymwaura4548
even me
@denniskimanthi8576
SHADES RAINI am here
@songabaluku4153
Me too bro... Lile lizee tunalipenda lakn lintuangusha 😂😂😂😂😂😂.... Long live BABA
@Gustavo-xk8rl
Am here nmeiona status
@stephenewankara1772
Who else is here after baba sang this song at the Mombasa BBI meeting?
@indiamohammed335
Am here😅😅
@richardagoro915
Me too niko ndani.Mzee really knows history.
@bonfacekamau676
Me too