Ajali Haikingiki
Fundi Konde Lyrics


Jump to: Overall Meaning ↴  Line by Line Meaning ↴

Hino ajali haikingiki
Asainipo Mola mwenyewe
Hino ajali haikingiki
Asainipo Mola mwenyewe
Ni chombo imara chenye dhamani
Kilichopasishwa Uingerezani
Kilinguruma Likoni kikatiririka
Wale pasenja wakafelea baharini
Kilinguruma Likoni kikatiririka
Wale pasenja wakafelea baharini
Naliona hivyo kwaherini
Naliona hivyo kwaherini
Natanga pangani kwenye waganga
Na misahafu imepangana
Natanga pangani kwenye waganga
Na misahafu imepangana
Dereva Kombo ungama zako zimekwisha
Hapa Mombasa jirani wazikwa shirika
Dereva Kombo ungama zako zimekwisha
Kwetu Mombasa jirani wazikwa shirika
Naliona hivyo kwaherini
Watoka Mombasa kwenda Nairobi
Huko njiani maji saliti
Wa Nairobi hawana habari
Uko njiani toka Mombasa
Mara radio yasema na jirani lako
Kwamba ajali mbaya imetokea njiani
Nao pasenja hawajulikani majina
Nayo hesabu ni ya kubahatisha
Fuateni wosia wa wimbo huu




Kwa kujihepusha na hizi ajali
End

Overall Meaning

"Hino Ajali Haikingiki" is a song by Fundi Konde that talks about the dangers of road accidents and the need to be cautious while travelling. The opening lines of the song proclaim that accidents have no guarantees--one can never be sure when an accident will occur, but it is our duty to be careful and pray to God for protection. The song then goes on to describe an accident that occurred in Likoni, a district in Mombasa, where a strong and valuable vessel sank, killing passengers who had been aboard. The singer notes that he was present when the accident happened and watched people lose their lives in a tragic way.


The next verse of the song is about the singer's experiences in Pangani, another district in Kenya. Here, he notes that he visited traditional healers and saw books of the Quran lined up together. He vividly describes an incident in which a driver named Kombo died in a car accident in Mombasa, and people nearby buried him. The song ends with a warning and a message urging everyone to be safe on the road and avoid accidents. As listeners, we are instructed to follow the "wosia" (advice) of the song and stay safe by being careful and alert while travelling.


Line by Line Meaning

Hino ajali haikingiki
Accidents are unpredictable


Asainipo Mola mwenyewe
Only God knows when they will happen


Ni chombo imara chenye dhamani
It's a valuable and strong vessel


Kilichopasishwa Uingerezani
Imported from England


Kilinguruma Likoni kikatiririka
It roars and pours as it crosses Likoni


Wale pasenja wakafelea baharini
Passengers die drowning in the ocean


Naliona hivyo kwaherini
I witnessed it during farewell


Natanga pangani kwenye waganga
I seek remedies from traditional healers in Pangani


Na misahafu imepangana
And the Qurans are arranged orderly


Dereva Kombo ungama zako zimekwisha
Driver Kombo, your days are numbered


Hapa Mombasa jirani wazikwa shirika
Here in Mombasa, neighbors bury each other


Watoka Mombasa kwenda Nairobi
They travel from Mombasa to Nairobi


Huko njiani maji saliti
Encountering saline water along the way


Wa Nairobi hawana habari
Those in Nairobi are not aware


Uko njiani toka Mombasa
On the way from Mombasa


Mara radio yasema na jirani lako
Suddenly, the radio announces to your neighbor


Kwamba ajali mbaya imetokea njiani
That a terrible accident happened on the road


Nao pasenja hawajulikani majina
And the passengers are not known by their names


Nayo hesabu ni ya kubahatisha
The number of people involved is uncertain


Fuateni wosia wa wimbo huu
Follow the advice in this song


Kwa kujihepusha na hizi ajali
To avoid these accidents




Contributed by Grace W. Suggest a correction in the comments below.
To comment on or correct specific content, highlight it

Genre not found
Artist not found
Album not found
Song not found
Comments from YouTube:

@shadesraini6356

Raila odinga made me search for this....who else did it?

@bonfacekamau676

Me too,it's lovely but sad

@sammymwaura4548

even me

@denniskimanthi8576

SHADES RAINI am here

@songabaluku4153

Me too bro... Lile lizee tunalipenda lakn lintuangusha 😂😂😂😂😂😂.... Long live BABA

@Gustavo-xk8rl

Am here nmeiona status

56 More Replies...

@stephenewankara1772

Who else is here after baba sang this song at the Mombasa BBI meeting?

@indiamohammed335

Am here😅😅

@richardagoro915

Me too niko ndani.Mzee really knows history.

@bonfacekamau676

Me too

More Comments

More Versions