More Genres
No Artists Found
More Artists
Load All
No Albums Found
More Albums
Load All
No Tracks Found
Genre not found
Artist not found
Album not found
Search results not found
Song not found
Dereva
Jomenes Boys na Band Lyrics
No lyrics text found for this track.
The lyrics are frequently found in the comments by searching or by filtering for lyric videos
The lyrics are frequently found in the comments by searching or by filtering for lyric videos
kibasa mohamedi
Yaan wewe ulikuwa speed, kama wenzako walisimama ghafla,wewe ulishindwa kusimama Kwa sababu ulikuwa mbio Sana .
Denis Rukangula
Je hiyo sehemu ni maalum kuvuka kwa ng'ombe,au isije ng'ombe ikawa imemgonga gari hahahaaa
Nelson Kileo
Hi nayo ni habari ,au ndio mmegundu namna ya kula Hela kupitia Views
Siraji Kiluvia
Kama hawajafa mshukuruni mungu,elewaneni
Denis Rukangula
Bora amegongwa ng'ombe sio mtu
hassani idrissa
Ulivyo ona gari zimesimama ungechukua taazari, kwa kupunguza mwendo, we unasema ulijua wanapakia abiria je kama wangekua wamewapa kipau mbele watoto wavuke? Siungewagonga,. Chukua taazari na toa kipau mbele hata kama una Haki,
Fides Bernard
Jamani inafaa kuchinjwa hakuna shida ni. Bahati mbaya tu.
Aairraah Seif
Sasa tatizo liko wapi?Ng'ombe wako hai na walipelekwa kuchinjwa harusi, wakachinjwe bado wako hai,na huyu mchungaji apewe kafidia kidogo, walaji wajanja polisi wakifika wote wataliwa pesa😂😂
Denis Rukangula
Hiyo harusi ikaombewe
Riziki Abdallah
Mwenye gari hana kosa alijua hice zimesimama kugombania abiria .