Asifiwe
Sandra Mbuyi Lyrics


Jump to: Overall Meaning ↴  Line by Line Meaning ↴

Niki angalia maishani mwangu ma vita ambao unanipiganiaka,
Sijuake mwanzo ao mwisho
Mina shitukaka tu ulisha shinda
Naku penda sana yesu wa uwezo
Lakini wewe mungu wa uruma unanijalia neema yako

Wewe ni muumbaji unaishi milele
Wewe ni maji matulivu jangwani
Wewe ni kimbilio letu wakati wa shida na msaada ulio karibu
Mina kwimbiya usifiwe eh.

Refre

Asifiwe bwana asifiwe milele na milele bwana asifiwe eh
Asifiwe asifiwe asifiwe Bwana asifiwe eh.

Wewe mungu wa majabu yahweh msingi ya maisha yangu.
Kimbilio langu ni wewe Bwana
Wewe mungu wa mapendo yahweh we ni akiba ya mema
Wewe ni mwanga wa maisha
Langu baba ah baba

Asifiwe bwana
Baba asifiwe baba asifiwe eeh
Milele na milele
Leo
Naonekana mutu muzima sina chochote nitakutoleya bwana
Asifiwe eheh
Asifiwe bwana

Kwa yote unanitendeya maishani mwangu uh.
Kwa yote umetimiza maishani mwangu uhuuuu
Bwana ubarikiwe bwana usifiwe
Utukuzwe uweshimiwa uinuliwe

Bababa ahh baba

Kaskazini magaribi mashariki na kusini ni wewe tu
Baba ah baba
Asifiwe bwana
Asifiwe bwana wa majeshi
Baba ah baba
Heeeheheiiee
Ntakushukuru namunagani baba
Uwinuliwe namunagani baba
Bwana bwana bwana wa majeshi
Bwana wa mapendo
Asifiwe asifiwe
Asifiwe baba
Ntakushukuru namunagani
Baba baba baba baba baba

Milele na milele
Oh oh

Bwana wa majeshi
Bwana wa mapendo
Mungu wa baraka
Mungu wa milele ehe
Asifiwe
Bwana asifiwe

We tumaini langu ushindi langu baba
Nakuabudu nakuabudu bwana wangu baba
Jina lako kubwa na takatifu lina niponya baba ah baba
Asifiwe asifiwe




Asifiwe asifiwe ehehe baba
Bwana asifiwe

Overall Meaning

The lyrics to Sandra Mbuyi's song "Asifiwe" are a declaration of praise to God, acknowledging his power and majesty. The singer is reflecting on the battles they have faced in life, but acknowledges that God has been with them through it all, even though they did not know where the battles began or ended. They express their love for Jesus and his power, but also recognize that God is a God of wrath and has granted them his mercy.


The singer then goes on to describe God as the creator, the calm in the midst of chaos, and the refuge and help in times of trouble. They declare that everything they have in life is thanks to God’s intervention, and therefore they sing to praise him. The chorus of the song is a repetition of the phrase "asifiwe bwana" which means "praise the Lord" in Swahili, emphasizing the singer's desire to express their gratitude and give all the glory to God.


Line by Line Meaning

Niki angalia maishani mwangu ma vita ambao unanipiganiaka,
As I look at my life, the battles that you fight for me, I don't know the beginning or the end of them.


Sijuake mwanzo ao mwisho
I don't know the beginning or the end.


Mina shitukaka tu ulisha shinda
I am amazed that you have already won.


Naku penda sana yesu wa uwezo
I love you so much, Jesus of power


Lakini wewe mungu wa uruma unanijalia neema yako
But you, God of Mercy, bless me with your grace.


Wewe ni muumbaji unaishi milele
You are the Creator who lives forever.


Wewe ni maji matulivu jangwani
You are the calm waters in the desert.


Wewe ni kimbilio letu wakati wa shida na msaada ulio karibu
You are our refuge in times of trouble, and help that is near.


Mina kwimbiya usifiwe eh.
I sing praises to you.


Asifiwe bwana asifiwe milele na milele bwana asifiwe eh
Praise the Lord, praise the Lord forever and ever, praise the Lord.


Wewe mungu wa majabu yahweh msingi ya maisha yangu.
You, God of miracles, are the foundation of my life.


Kimbilio langu ni wewe Bwana
My refuge is in you, Lord.


Wewe mungu wa mapendo yahweh we ni akiba ya mema
You, God of love, are a treasure of goodness.


Wewe ni mwanga wa maisha
You are the light of life.


Langu baba ah baba
My Father, oh Father


Bababa ahh baba
Father, oh Father.


Kaskazini magaribi mashariki na kusini ni wewe tu
In the North, West, East and South, it is only you.


Bwana wa majeshi
Lord of Hosts.


Mungu wa baraka
God of blessings.


Mungu wa milele ehe
God of eternity.


We tumaini langu ushindi langu baba
You are my hope and victory, Father.


Nakuabudu nakuabudu bwana wangu baba
I worship you, my Lord and Father.


Jina lako kubwa na takatifu lina niponya baba ah baba
Your great and holy name heals me, Father.


Asifiwe asifiwe
Praise the Lord, praise the Lord.


Oh oh
Oh oh.


Bwana asifiwe
Praise the Lord.




Contributed by Bentley H. Suggest a correction in the comments below.
To comment on or correct specific content, highlight it

Genre not found
Artist not found
Album not found
Song not found

More Versions