Nimaru
Les Wanyika Lyrics
Aaaaaaaa... Nimaru mtoto wa Tanga
Sheri ee usilie mwana mama ee, najua wanipenda Nimaru mama ee, sikupenda kukuacha uteseke nyumbani pekee,
Shida na tabu zinafanya watu kutengana mama eee...
Sheri ee usilie mwana mama ee, najua wanipenda Nimaru mama ee, sikupenda kukuacha uteseke nyumbani pekee,
Shida na tabu zinafanya watu kutengana mama eee...
Ooooooo mwanamama oooo, Oooooooo mwanamama...
Shida na tabu zinafanya watu kutengana mama eee...
Sheri ee usilie mwana mama ee, najua wanipenda Nimaru mama ee, sikupenda kukuacha uteseke nyumbani pekee,
Shida na tabu zinafanya watu kutengana mama eee...
Safari niliyonayo ni ndefu sana ooo, sijui mwaka gani nitarudi mama yoyoyoooo,
Hata mimi sina raha kuwa mbali nawe ooo, lakini ni hali ya dunia ni vigumu kuepuka aaaaaaa
Ooooooo mwanamama oooo, Oooooooo mwanamama...
Safari niliyonayo ni ndefu sana ooo, sijui mwaka gani nitarudi mama yoyoyoooo,
Hata mimi sina raha kuwa mbali nawe ooo, lakini ni hali ya dunia ni vigumu kuepuka aaaaaaa
Ooooooo mwanamama oooo, Oooooooo mwanamama...
Ooooo Nimaru mama ee, Nimaru mama, Nimaru bibi...
Ooooo usilie mama ee, usilie mama, ninarudi TZ...
Ooooo nitarudi bibi ee, nikuone mama, tufurahi pamoja...
Ooooo nifurahi nawe oooooooo...
Sheri ee usilie mwana mama ee, najua wanipenda Nimaru mama ee, sikupenda kukuacha uteseke nyumbani pekee,
Shida na tabu zinafanya watu kutengana mama eee...
Sheri ee usilie mwana mama ee, najua wanipenda Nimaru mama ee, sikupenda kukuacha uteseke nyumbani pekee,
Shida na tabu zinafanya watu kutengana mama eee...
Ooooooo mwanamama oooo, Oooooooo mwanamama...
Sheri ee usilie mwana mama ee, najua wanipenda Nimaru mama ee, sikupenda kukuacha uteseke nyumbani pekee,
Shida na tabu zinafanya watu kutengana mama eee...
Sheri ee usilie mwana mama ee, najua wanipenda Nimaru mama ee, sikupenda kukuacha uteseke nyumbani pekee,
Shida na tabu zinafanya watu kutengana mama eee...
Safari niliyonayo ni ndefu sana ooo, sijui mwaka gani nitarudi mama yoyoyoooo,
Hata mimi sina raha kuwa mbali nawe ooo, lakini ni hali ya dunia ni vigumu kuepuka aaaaaaa
Ooooooo mwanamama oooo, Oooooooo mwanamama...
Safari niliyonayo ni ndefu sana ooo, sijui mwaka gani nitarudi mama yoyoyoooo,
Hata mimi sina raha kuwa mbali nawe ooo, lakini ni hali ya dunia ni vigumu kuepuka aaaaaaa
Ooooooo mwanamama oooo, Oooooooo mwanamama...
Contributed by Madelyn R. Suggest a correction in the comments below.
To comment on specific lyrics, highlight them
Les Wanyika was a prominent band with Kenyan and Tanzanian members and was based in Kenya. It was formed in 1978 when guitarist Omar Shabani, bassist Tom Malanga and two other members left Simba Wanyika. They were joined by John Ngereza and Issa Juma. Les Wanyika made many popular recordings, but are best remembered for their 1979 classic Sina Makosa and Paulina. Vocalist Issa Juma left the band soon afterwards to concentrate on other musical projects. The group continued until Omar Shabani's death in 1998. John Ngereza died two years later. Read Full BioLes Wanyika was a prominent band with Kenyan and Tanzanian members and was based in Kenya. It was formed in 1978 when guitarist Omar Shabani, bassist Tom Malanga and two other members left Simba Wanyika. They were joined by John Ngereza and Issa Juma. Les Wanyika made many popular recordings, but are best remembered for their 1979 classic Sina Makosa and Paulina. Vocalist Issa Juma left the band soon afterwards to concentrate on other musical projects. The group continued until Omar Shabani's death in 1998. John Ngereza died two years later.
In 1971, two brothers from the coastal region of Tanga, Tanzania, Wilson and George Kinyonga formed a band they would call Simba Wanyika, a Swahili for Savannah Lions. Due to unsteady economic conditions in [Tanzania] in the 70s which strained the music industry, most of the artists of that time migrated to Kenya and other neighbouring countries in search of greener environments. It's no wonder that some of these artists became citizens of those countries. During that time, travelling between the two countries was made easy by the East African community, a tripartite agreement of understanding among Kenya, Uganda and Tanzania. After the collapse of the community in 1977, border crossings were made difficult, hence the eventual establishment of permanent base in Kenya by the group. With its development and growth, the band created several offshoots, but most notable was/is Les Wanyika. It's one thing for an artist to migrate in search of career betterment and quite another when a country falsely claims ownership of certain artists who belongs to another country for the sole purpose of looking good and seeking prominence. The so can be said of the song Malaika which originated in Tanzania, cartoonist Geofrey "Gado" Mwampembwa who is a Tanzanian working for the Nation Newspaper in Kenya and the overall location of the mount Kilimanjaro. The Kenyans have been very good on this profession. With Les Wanyika, new members of the group included both Tanzanians and Kenyans. The famous John Ngereza, Issa Juma and Omar Shabani were all from Tanzania, and one Tom Malanga was from Kenya. This band established a permanent base in Nairobi, playing in nightclubs and on various resorts. Most of the group members have either died or fallen victims of age toll.
In 2006, the group was reformed with a new line up
In 1971, two brothers from the coastal region of Tanga, Tanzania, Wilson and George Kinyonga formed a band they would call Simba Wanyika, a Swahili for Savannah Lions. Due to unsteady economic conditions in [Tanzania] in the 70s which strained the music industry, most of the artists of that time migrated to Kenya and other neighbouring countries in search of greener environments. It's no wonder that some of these artists became citizens of those countries. During that time, travelling between the two countries was made easy by the East African community, a tripartite agreement of understanding among Kenya, Uganda and Tanzania. After the collapse of the community in 1977, border crossings were made difficult, hence the eventual establishment of permanent base in Kenya by the group. With its development and growth, the band created several offshoots, but most notable was/is Les Wanyika. It's one thing for an artist to migrate in search of career betterment and quite another when a country falsely claims ownership of certain artists who belongs to another country for the sole purpose of looking good and seeking prominence. The so can be said of the song Malaika which originated in Tanzania, cartoonist Geofrey "Gado" Mwampembwa who is a Tanzanian working for the Nation Newspaper in Kenya and the overall location of the mount Kilimanjaro. The Kenyans have been very good on this profession. With Les Wanyika, new members of the group included both Tanzanians and Kenyans. The famous John Ngereza, Issa Juma and Omar Shabani were all from Tanzania, and one Tom Malanga was from Kenya. This band established a permanent base in Nairobi, playing in nightclubs and on various resorts. Most of the group members have either died or fallen victims of age toll.
In 2006, the group was reformed with a new line up
More Genres
No Artists Found
More Artists
Load All
No Albums Found
More Albums
Load All
No Tracks Found
Genre not found
Artist not found
Album not found
Search results not found
Song not found
Duke Fred Abellezz
best music of my time
Mohamed Ahmad
Kama bado unaisikiliza ngoma hii 2020 gonga like twende sawa.
Emmanuel Rhobi
Hii ngoma inarudisha mbali sana dah?! Ahsante sana Les Wanyika
Savio Mgaya
hiz ngoma Zina nguvu sanaaaaaaa mkuuu🎵🎵🎵🎵
Sebastian Itooi
When music was music before going to the dogs.
Carole Osako
The current music is for a lost generation
David Mutemi
I dearly love this hit,, a special dedication to you my lovely in kenya,,,listening all the way from hauestein Germany,,,God willing nitarudi hivi karibuni nifurahi na nyinyi,,,miss you so much
Aaron Tobey
Usi rudi corona ita ku maliza
john njoroge muigai
this is a pure nimaru,,,,no addittives
Kennedy Wanyoike
Cool